Babu, hii ni hatari kuliko ilivyoelezewa hapa, maana yake ni kwamba tutakufa kifo asili cha kukosa chakula! Inatisha sana kwa kweli, kuna haja ya kuanza harakati za kujikomboa na mapemaa!
Umeonesha uzalendo wa hali ya juu ktk tasnia ya ushabiki wa soka! Hongera kwa hilo, sidhani km itatokea timu ktk historia yenye kuujua mpira kama wale mafundi BARCELONA!
Kaka maneno yako ni ya busara sana, na pia ni kitu ambacho huwa unanisisitizia mara kwa mara. kweli sasa nimekuwa mkubwa acha niwe kioo cha jamii
At 9:57am on Aprili 12, 2010, Abdallah Juma anasema…
wewe kweli mjaa wa laana basi hata nikibadilisha mtandao bado wanifuata kwa maneno SHIKA ADABU YAKO IBILISI WEE na utu uzima huu usinivunjie heshima !!!
Kina aunt tupo ila tuna kimbizana na maisha ndio maana tumepotea.Mpe salamu kwa wingi.Halafu pale Rufiji ulikua ukimjua Mohammed mzaire mume wa Nahya??