Kijiji cha Waswahili Wadadavuzi wa Hili na Lile
Loading feed
Imewekwa na Leila
Imewekwa na Leila
Imewekwa na Leila
Posted on Agosti 24, 2011 at 12:36pm 0 Comments 1 Like
Wazungu wawili raia wa Ujerumani, Veixlar Marlm (24) na Wexler Roland (21) waliibua kizaazaa ndani ya Kituo cha Mabasi Ubungo (UBT), jijini Dar es Salaam kufuatia kukodi teksi bubu wakitaka kupelekwa Posta Mpya, lakini wakajikuta wakiishia Sinza Makaburini, shuka na data chini.
Tukio hilo…
ContinuePosted on Agosti 15, 2011 at 3:49pm 8 Comments 1 Like
Maisha ya Askofu wa Huduma ya Ngurumo ya Upako, Geor Davie anayevuma zaidi jijini Arusha na Dar es Salaam ni ya kifahari,…
ContinuePosted on Agosti 12, 2011 at 9:06am 0 Comments 0 Likes
Posted on Agosti 9, 2011 at 12:56pm 1 Comment 0 Likes
Posted on Agosti 8, 2011 at 2:00pm 7 Comments 0 Likes
MEYA wa jiji la Dar es Salaam, Didas Masaburi, ambaye ametakiwa na wabunge wa jiji la Dar es Salaam kujiuzulu kupisha uchunguzi kutokana na kashfa ya uuzaji kifisadi Shirika la Usafirishaji Dar es Salaam (UDA), amewajibu wabunge hao na kusema kuwa kuna baadhi yao wanashindwa kufikiri kwa kutumia vichwa na badala yake wanafikiri kwa kutumia 'makalio'.
Masaburi alitoa kauli hiyo nzito jana mjini hapa alipozungumza na waandishi wa habari katika Hoteli ya Naura…
© 2012 Created by Babukadja.
Comment Wall (517 comments)
Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza.Me kuweka maoni!
Join FotoBaraza.Me
Happy New Year!
Haya bana umesamehewa!
Wewe Leila wewe ohooo ukala Idd mwenyewe lol! Uchoyo huo kakufundisha nani?
thanks leila mpendwa nashukuru unanikumbuka mungu akuzidishie wangu,,,,, ilove forever and ever,,,,
ASANTE DADA YANGU MPENZI KWA KUNIKUMBUKA SIKU YANGU YA KUZALIWA MUNGU AKUBARIKI SANA
GOOD DAYYYYYY...NIMEKUSOMA SAAAAANAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
Ona Maoni Yote