Kijiji cha Waswahili Wadadavuzi wa Hili na Lile
godfrey mwaifunga has not received any gifts yet
God, hayo mambo ya gesi ni saundi tu, we utasikia baada ya hizo wiki tatu jamaa watakaporejea na hiyo bajeti, uwe na ndimu karibu maana utaweza kutapika, najua bado itakuwa ni bajeti ya ahadi zisizo na matumaini yeyote. Kweli inakuingia akilini, uwe na mwaka mzima ushindwe kuandaa bajeti inayoeleweka halafu uje kusema unaweza kuandaa bajeti hiyo kwa wiki 3?
Ukweli wa hili swala ni mpana sana. Tanzania inapata shida ya umeme kwa upumbavu wa viongozi wake. Tanzania tunalo jua linawaka mwaka mzima kwa nini basi wasiseme waondoe kodi kwenye vifaa vyote vya umeme jua na upepo ili kwa matumizi ya nyumbani, ambayo si makubwa, tutumie vyanzo hivyo?
Umeme wa gridi ya taifa ungetakiwa kubaki kwenye viwanda na maofisi, umeme ungetosha na mwingine tungeuza nchi jirani. Lakini kwa sababu viongozi wetu, tulioamini zinachaji, wanapotuangusha unagundua kwamba hakuna cha gesi wala maji, SAUNDI TU!
Posted on Julai 28, 2011 at 2:00am 8 Comments 0 Likes
Jamaa mmoja mjini Mbeya amefumwa na mke wa balozi kwa madai kuwa analipa kisasi kwa balozi wa kijiji hicho ambaye anadai amekua 'akimbonyezea kizenji' mke wake mara kwa mara.
Lakini walipokua wakihojiwa na polisi, jamaa huyo na mke wa balozi wamesema kuwa hakuna ushaidi kwani hawakukutwa kitanandani hivyo basi kama balozi ana uchungu basi awaache warudie tena kosa na ndipo wawakamate lakini cha kushangaza ni pale walipopewa fursa ya kurejea pambano polisi alidai kuwa hajaridhika…
Posted on Julai 22, 2011 at 4:00am 9 Comments 0 Likes
Posted on Julai 20, 2011 at 10:00am 9 Comments 0 Likes
© 2012 Created by Babukadja.