Imewekwa na mujydebubyz kwenye Septemba 20, 2011 saa 6:29pm —
Hakuna Maoni
je kinachofanyika libya wananchi hawa wako sahihi?, je nikweli walibya hawa hawatamkumbuka gwiji huyu wa siasa, hasa taifa kubwa lenye nguvu ya mhimili wa jeshi huku uchumi kwao ni kwanjia ya kuwapora wenye malighafi likiwa libya!!!, mafuta yatabaki?, au baadaye ndo watamkumbuka raisi wao?, marekani katikati uchumi uliyumba, madani ka bongo ilikunusuru uchumi wake lazima aibe malighafi muda huu akaona ajisevie libya baada ya kuharibuharibu malighafi iraq, tujiulize akitoka libya atadondoka…
Continue
Imewekwa na pastory z. nyabululu kwenye Septemba 17, 2011 saa 4:05pm —
Hakuna Maoni
Siku ya jumamosi ya tarehe 10 sept 2011,yalifanyika mashinano ya kumpata mrembo wa kitanzania kwenye ukumbi wa mliman city,uliopo maeneo ya chuo kikuu jijini dar es salaam.Lakini siku hiyohiyo ya tarehe 10 sept 2011 huko visiwani zanzibar kulikuwa na hekaheka kubwa la kuzama kwa meli ya Mv spice islands,iliyozama kwenye bahari ya hindi maeneo ya nungwi na kupoteza watu 202 na wengine zaidi ya 600 kujeruhiwa na wengine hawajapatikana.Ki ukweli nmesikitishwa sana na kamati ya mashindano haya…
Continue
Imewekwa na jfmadari mimi kwenye Septemba 14, 2011 saa 9:07am —
Hakuna Maoni
Imewekwa na GRIADY GEORGE kwenye Septemba 14, 2011 saa 5:15am —
Hakuna Maoni
Imewekwa na GRIADY GEORGE kwenye Septemba 14, 2011 saa 5:11am —
Hakuna Maoni
TUPAC AMARU SHAKUR (JUNE 16,1971 - SEPT 7,1996)…
Continue
Imewekwa na GRIADY GEORGE kwenye Septemba 14, 2011 saa 5:04am —
Hakuna Maoni
JUSTIN DREW BIEBER
Justine Bieber…
Continue
Imewekwa na GRIADY GEORGE kwenye Septemba 14, 2011 saa 5:02am —
Hakuna Maoni
Imewekwa na GRIADY GEORGE kwenye Septemba 14, 2011 saa 4:56am —
Hakuna Maoni
Kati ya wanamuziki wa Tanzania ambao hawajatendewa haki ni Frank na dada zake. Walitoa nyimbo nyingi nzuri, kama Kolokolola, Simba wa Bara, Tufurahi Harusi lakini ni mara chache wao kukumbukwa japo hizo nyimbo hupigwa karibu kila wiki na zimerekodiwa tena na tena na wanamuziki wengi tu. Na mbaya zaidi ni baadhi ya nyimbo kutajwa na watangazaji wetu kuwa ni za Fundi Konde mwanamuziki wa Kenya. Kwa picha za Frank na hadithi za wanamuziki wengine wa zamani, nenda…
Continue
Imewekwa na jfk kwenye Septemba 3, 2011 saa 10:47am —
Hakuna Maoni

Cameroon star Samuel Eto’o ame-sign mkataba wa miaka 3 na timu ya FC Anzhi Makhachkala toka…
Continue
Imewekwa na GRIADY GEORGE kwenye Agosti 27, 2011 saa 6:36am —
Hakuna Maoni

AALIYAH DANA HAUGTON (16…
Continue
Imewekwa na GRIADY GEORGE kwenye Agosti 27, 2011 saa 6:34am —
Hakuna Maoni
Kikundi cha waislamu wenye msimamo mkali nchini Nigeria - Boko Haram - kimedai kuhusika na shambulio dhidi ya makao makuu ya Umoja wa mataifa katika jiji la Abuja.
Msemaji wa kundi hilo alitoa madai hayo alipoongea kwa simu na afisi za BBC nchini Nigeria.
Kikundi hicho kilifanya mashambulio kama hayo dhidi ya makao makuu ya polisi mjini Abuja mwezi Juni mwaka huu.
Mkuu wa polisi wa Abuja Mike…
Continue
Imewekwa na JAMES MATHEW LYIMO kwenye Agosti 27, 2011 saa 6:24am —
Hakuna Maoni
Imewekwa na GRIADY GEORGE kwenye Agosti 27, 2011 saa 6:02am —
Hakuna Maoni
Imewekwa na GRIADY GEORGE kwenye Agosti 27, 2011 saa 5:57am —
Comments
SAMIR NASRI - FRANCE/MANCHESTER CITY FC…
Continue
Imewekwa na JAMES MATHEW LYIMO kwenye Agosti 25, 2011 saa 7:30pm —
Hakuna Maoni
Cameroon star Samuel Eto’o ame-sign mkataba wa miaka 3 na timu ya FC Anzhi Makhachkala toka Urusi…
Continue
Imewekwa na JAMES MATHEW LYIMO kwenye Agosti 25, 2011 saa 7:28pm —
Hakuna Maoni
J. MARTINS vs CABO SNOOP
Artist na Producer toka…
Continue
Imewekwa na JAMES MATHEW LYIMO kwenye Agosti 25, 2011 saa 7:26pm —
Hakuna Maoni
JAKAYA MRISHO KIKWETE - TZ PRESIDENT
Rais Jakaya Kikwete ameamuru Katibu Mkuu wa…
Continue
Imewekwa na JAMES MATHEW LYIMO kwenye Agosti 25, 2011 saa 7:24pm —
Hakuna Maoni
ROBERT KYAGULANYI - BOBI WINE
Inaonekana kama Bobi Wine kwasasa anavuka mipaka…
Continue
Imewekwa na JAMES MATHEW LYIMO kwenye Agosti 25, 2011 saa 7:21pm —
Hakuna Maoni
COLONEL MUAMMAR GADDAFI - LIBYA
Waasi wa nchini Libya walioongoza mapigano ya kumng'oa Rais Muammar Gaddafi madarakani wameahidiwa…
Continue
Imewekwa na JAMES MATHEW LYIMO kwenye Agosti 25, 2011 saa 7:16pm —
Hakuna Maoni